Wednesday, November 13, 2013

WANAWAKE UINGEREZA WALIPWA POUNDI 200 ILI WANYONYESHE WATOTO WAO

WANAWAKE wanaojifungua nchini Uingereza walipwa hadi poundi 200( Sawa na Sh.512,934 za kitanzania) ili kunyonyesha watoto wao.

Mradi huo mpya  ulioanzishwa nchini humo kwa ushirikiano kati ya serikali na watafiti wa utabibu katika mitaa ya Yorkshire Kusini na Derbyshire ili kuwahamasisha wamama kunyoshesha vichanga vyao.

Kwa mujib wa Sky New mradi huo utawafaidisha wakinamama zaidi ya 130 watakaojifungua watoto kati ya mwezi huu hadi mwkani mwezi wa tatu.

No comments:

Post a Comment