Thursday, October 10, 2013

ROSE NDAUKA AKANA KUWA NA UJAUZITO WA MTARAJIWA WAKE.

Mwigizaji wa filamu Bongo Rose Ndauka akana kuwa na ujauzito huku Mtarajiwa wake Malick Bandawe akiwa akidai anafanya kila awezalo ili Rose aenjoy katika kipindi hiki cha ujauzito.

Na Mtarajiwa wake huyo ambaye naye pia ni Msanii wa Bongo fleva alipoulizwa kuhusu Ndoa alisema anasuburia  mpaka atakapojifungua mana kwa imani ya dini yake haruhusiwi kuoa mke ambaye ni mjamzito.

Zifuatazo ni baadhi ya picha wakiwa katika Hotel yenye hadhi ya Nyota tano.
 
 

No comments:

Post a Comment