Wednesday, November 13, 2013

WANAWAKE UINGEREZA WALIPWA POUNDI 200 ILI WANYONYESHE WATOTO WAO

WANAWAKE wanaojifungua nchini Uingereza walipwa hadi poundi 200( Sawa na Sh.512,934 za kitanzania) ili kunyonyesha watoto wao.

Mradi huo mpya  ulioanzishwa nchini humo kwa ushirikiano kati ya serikali na watafiti wa utabibu katika mitaa ya Yorkshire Kusini na Derbyshire ili kuwahamasisha wamama kunyoshesha vichanga vyao.

Kwa mujib wa Sky New mradi huo utawafaidisha wakinamama zaidi ya 130 watakaojifungua watoto kati ya mwezi huu hadi mwkani mwezi wa tatu.

YVONNE NELSON'S BIRTHDAY BEACH PARTY WITH VAN VICKER, MAJID MICHAEL.

Ghananian star actress Yvonne Nelson celebrated her 28 birthday Yesterday 12 November in Ghana with family members, close friends and fellow actors like Van Vicker, Majid Michael, Benson Okwonko and more. It was a beach party with Yvonne flaunting her hot bikini body. Take a look............

Waigizaji wa Ghana kutoka kushoto Van Vicker akiwa na Yvonne kati pamoja na Majid Michael

                                   Wakiwa pamoja na marafiki wengine/

                                              Yvonne na Majid katika pozi

                                              Yvonne na Van Vivker