Rado mwigizaji wa filamu Swahiliwood.
Rose Ndauka pia yupo |
Mboto mchekeshaji mahiri naye yupo katika filamu Fall in Love.
Msanii huyo amejigamba kwa kusema kuwa kazi yake hiyo imeandaliwa kwa umakini zaidi jambo linalomfanya ajivunie filamu hiyo kwani amefanya kazi kubwa kuanzia uandishi wa muswada wake, huku pia akiwasifia waigizaji wake kuigiza katika kiwango cha juu, wasanii
walioshiriki katika filamu hiyo ni Rose Ndauka, Salum Haji aka Mboto mchekeshaji anayefanya vizuri katika filamu hasa sehemu za kuchekesha.