Friday, February 22, 2013

JCB AFUNGA NDOA

 


Rapper kutoka kundi la Watengwa lililopo A-City, JCB ambae hivi karibuni ametoka kuachia track yake inayokwenda kwa jina la Niende Wapi akiwa ameshirikiana na Domokaya amevuta jiko hivi karibuni...

JCB sasa ameuacha u-bachelor rasmi baada ya kufunga ndoa rasmi siku ya jumatano ya Tarehe 20 mwezi huu. Ndoa hii imeonekana kuwa ni ya kimya kimya sana maana sio watu wengi waliokuwa wakijua juu ya tukio hilo.

Hizi ni baadhi ya picha za kwenye harusi hiyo...

WIZ KHALIFA NA AMBER WAPATA MTOTO WA KIUME



Rapper Wiz Khalifa na Mchumba wake Amber Rose wamemkaribisha duniani mtoto wao wa kwanza leo asubuhi. Mtoto Huyo wa Kiume amepewa Jina la Sebastian Taylor Thomaz Aka "The Bash." Baada Ya Mtoto Kuzaliwa Wiz Khalifa Ameandika kwenye ukurasa wake wa Twitter "Daddy time," "Happy Birthday Sebastian "The Bash" Taylor Thomaz!!! ` Everyone welcome this perfect young man into the world."

UNAWEZA KUANDAA CHAKULA HIKI KWA AJILI YA MLO WAKO.

Viazi Vya Nazi Kwa Nyama


     
 
Vipimo
Viazi                              1kilo
Nyama                           1/2
Kitunguu                        1
Nyanya                          2
kitunguu saumu            1 kijiko cha chai
Manjano                        ½ kijiko cha chai

Nyanya kopo                  1 kijiko cha chai
Pilipili ya unga                  kiasi upendavyo
Chumvi                           kiasi
Tui la nazi                      kikombe1 cha chai
Mtindi ukipenda              3 vijiko vya supu
Kotmiri                           kiasi ya kupambia
Nazi ya unga                  4 vijiko vya supu
Mafuta                           2 vijiko vya supu
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
  1. Kata nyama vipande vipande kisha chemsha na chumvi mpaka iive.
  2. Menya maganda viazi na ukate slice kubwa weka pembeni
  3. Kata kata kitunguu kisha kaanga na mafuta mpaka vibadilike rangi
  4. Tia kitunguu saumu, bizari ya manjano, pilipili ya unga, nyanya kopo
  5. Kata kata nyanya nzima vipande vidogo tia na kidonge cha supu.
  6. Kisha tia viazi, nyama na tui la nazi finika mpaka viazi viwive lakini    visiwe vikavu.
  7. Tia mtindi na nazi ya unga kama vijiko 4 vya supu iache motoni kidogo kisha pakua, tupia kotmiri juu na itakuwa tayari kuliwa.

Wednesday, February 20, 2013

MWANA'FA' KUANZISHA RECORD LABEL


Ni miaka zaidi ya kumi tangu hamis mwinjuma atie maguu kwa mara ya kwanza kwenye game ya muziki wa kizazi kipya na ngoma yake ya ingekua vipi, Mwana FA ame surport wasanii wengi kwa kupiga nao collabo kwenye ngoma zao, lakini this tyme ameenda more miles kwa kuanzisha record label, na tayari ame sign vichwa kadhaa na hivi karibuni label hiyo ime release ngoma ya msanii wake mmoja, mwanadada anaitwa maua, pini linaitwa Crazy feat yeye mwenyewe

"niliona naweza kutoa mkono sasa, nimefanya mziki kwa mda mrefu na siwezi kumsaidia kila mmoja anaefanya mziki, kuna watu wanavipaji vinapotea mtaani huku, na nikaona naweza kufanya kitu, kwahiyo tutakua very selective, maana hatutaki kuwa na watu wengi kwenye lebo tukashindwa kusambaza kazi zao
tutachagua wawili watatu ambao tutaona vipaji vyao vinajitosheleza na kuwasimamia haitatupashida, maua ndio ameanza sema kuna wengine wawili watatu mnawajua ila maua tumeona ndio wakati wake, na muda haujafika wa sisi kuwataja na kuanza nao kazi rasmi hadharani, bado tunafanya kichinichini"

"lebo ina kama mwaka hivi lakini tunaendesha shughuli kichinichini, tunajaribu  ku scout watu, kupanga mambo yetu, kusajili kampuni yaani utaratibu wa nyuma kabla mziki haujaskika na mtu wa kwanza kutoka ni maua kwasababu muda wake umefika na niwakati wa kipaji chake kukipeleka mbele na sio cha kukilazia damu au kulala nacho"amesema  FA baada ya kuulizwa lebo imekuwepo kwa muda gan.

LINEX AMTANGAZA STARA THOMAS KUJIUNGA NA V.O.A

 

Linex Sunday baada ya kuunda kundi lake jipya linalofahamika kwa jina la Voice of African na kupelekea mashabiki wengi kukubali kazi zao katika tasnia hii.
Leo kupitia katika ukurasa wa linex aliandika"Nachukua nafasi hii kumtangaza mwana dada Mwenye sauti ya tofauti Stara THomas kuanzia leo atakua ni mwanamuziki kutoka V.O.A kama una swali kuhusu hili litajibiwa"alisema Linex

Kwa hiyo wale mashabiki wa Voice of Africa kuanzia sasa utakuwa ukimsikia Stara Thomas ndani ya Kundi ilo V.O.A info by Linex

MABESTE KUIACHIA VIDEO YA 'DOLE' WIKI HII

 

Hit maker wa ngoma ya Sirudi tena kutoka Bhitz "Mabeste"siku chache zilizopita baada ya kumaliza maandalizi ya kuandaa video yake mpya 'Dole' chini ya director Nisher.
Leo kupitia katika ukurasa wa Facebook,Nisher ambaye ni director wa video hiyo mpya ya 'Dole' aliweza kufunguka na kuweka cover mpya ya ku release video hiyo mpya ambayo anatarajia rasmi kuachia siku ya Jumamosi wiki hii.



 DOLE" MUSIC VIDEO SNEAK PICS -  MABESTE FT. DEDDY - DIRECTED BY NISHER.

EUROPEAN UNION REACTS TO PRIEST'S KILLING

      

 
 The European Union (EU) yesterday urged Tanzanian authorities to carry out a full investigation into last Sunday’s killing of Father Evarist Mushi in Zanzibar.
The group also wants investigations into previous attacks on Muslim and Christian leaders to be continued and those responsible brought to book.

The EU Delegation in Tanzania also called upon the governments of Tanzania and Zanzibar and other stakeholders to support open dialogue between the Muslim and Christian communities—and take measures to prevent further incidents. It also wants action against those who spark sectarian violence.
On Monday, the US offered to support Tanzania in pursuing and bringing to justice those who gunned down Father Mushi.
The US expressed its willingness to assist Tanzania a day after the minister for Home Affairs, Dr Emmanuel Nchimbi, toured the scene of the crime and declared it a “terrorist attack”.

In a press statement issued yesterday, US Ambassador Alfonso Lenhardt described the killing of Father Mushi as a senseless murder. He added that his country was ready to offer any assistance Tanzania might require to bring the culprits to book.
Meanwhile, the EU said religious freedom is a universal human right that needs to be protected everywhere and for everyone. “Religious tolerance and peaceful co-existence have been a hallmark of Tanzanian society,” said the statement supported by Norway and Switzerland.

The EU urged religious communities to make every effort to refrain from violence, keep up the spirit of tolerance and respect for other people’s beliefs and resolve any differences through dialogue.
Meanwhile, three days after the killing of the priest, a church called The Pool of Siloam—located at Kianga area south of Unguja—was partly burnt yesterday at dawn by unknown people.

Zanzibar’s deputy director of criminal investigations, Commissioner of Police Yusuf Ilembo, said the incident took place between 3am and 4am yesterday. A guard at the church, identified as Mussa Jackson, said he saw three people inside the church. They stoned Mr Jackson but he managed to escape through a window. He reported seeing a fire inside the church.
The church was broken into by unknown assailants in 2011, according to the police commissioner. It was the 26th church to be set on fire in Zanzibar.

Tuesday, February 19, 2013

PICHA ZA WALTER CHILAMBO MSHIND WA EBSS AKIFANYA SHOW KWA MARA YA KWANZA

PICHA 15 ; SHOW YA KWANZA YA WALTER CHILAMBO MSHINDI WA EBSS ILIYOFANYIKA DODOMA.






Walter Akiwa Jukwaani
Walter Akiimba Na Ben Paul
Norman Akiimba
Nsami Nkwabi na Linah wakiimba kwa pamoja

Barnaba Boy
 
Godfrey Levis jukwaani
 
Husna akiwapagawisha mashabiki



Mashabiki Wakiburudika Na Show


Shabiki akimpongeza Wababa 


Menyninah na Barnaba wakiimba kwa pamoja
 
Wababa Akiimba


Sunday, February 17, 2013

HATIMAYE BEYONCE AMUANIKA MWANAE

                                 
   Picha ya Beyonce na mwanae Blue Ivy Carter imesambaa mtandaoni ambapo mtoto huyo anaonekana clear...!! kwenye documentary yake ya HBO "Life is but A dream", Beyonce hatimae anamuonesha Baby Blue bila manguo ya kumficha wala blanket.!
   Lakini picha hiyo kutoka kwenye makala yake imeleak and "the internet street are going nuts".Blue amebadilika lakini kiasi ukilinganisha na picha za kwanza alipozaliwa lakini bado ana mchanganyiko wa sura ya mama na baba yake.