Wednesday, February 20, 2013

LINEX AMTANGAZA STARA THOMAS KUJIUNGA NA V.O.A

 

Linex Sunday baada ya kuunda kundi lake jipya linalofahamika kwa jina la Voice of African na kupelekea mashabiki wengi kukubali kazi zao katika tasnia hii.
Leo kupitia katika ukurasa wa linex aliandika"Nachukua nafasi hii kumtangaza mwana dada Mwenye sauti ya tofauti Stara THomas kuanzia leo atakua ni mwanamuziki kutoka V.O.A kama una swali kuhusu hili litajibiwa"alisema Linex

Kwa hiyo wale mashabiki wa Voice of Africa kuanzia sasa utakuwa ukimsikia Stara Thomas ndani ya Kundi ilo V.O.A info by Linex

No comments:

Post a Comment