Wednesday, January 30, 2013

SASHA NA MARIE OBAMA WAMEKUWA WADADA

  Nafikiri ni zile genes za baba mrefu na mama mrefu wanaonekana wamekuwa na kurefuka Malia sasa ana miaka 14 na mdogo wake Sasha miaka 12

 

Na picha hii ilikuwa mwaka 2009 wakati baba yao Barack Obama akiapishwa kuwa raisi wa Marekani kwa awamu yake ya kwanza

No comments:

Post a Comment