Monday, January 28, 2013

KIM KARDASHIAN NA KANYE WEST WANUNUA NYUMBA KATIKA MAANDILIZI YA MTOTO


   Wakitarajia mtoto wao wa kwanza, Kim Kardashian na kanye west wameamua kuongeza nafasi ya eneo la kuishi
Mastaa hao ambao wanatarajia kupata mtoto mwezi Julai mwaka huu, wamenunua Italian style villa, ya 9,000 square-foot maeneo ya Bel Air, Los Angeles, kitongoji cha matajiri ilipokua inarekodiwa show ya Fresh Prince of Bel Air!


   Pamoja na mjengo huo kuwa na gym, movie theatre, saluni ya warembo kujiremba, bowling alley, kiwanja cha basketball, swimming pool mbili(ndani na nje ya nyumba,) mastaa hao wamepanga kubomoa ndani ya nyumba hiyo na kuidizaini upya iwe 14,000-square-food “dream home.”

  Nyumba hiyo mwanzoni ilikua kwenye list ikiuzwa kwa bei ya milioni $11.4 (TShs bilioni 18.4,) lakini ilipunguzwa bei mpaka dollar milioni 10.75 (TShs bilioni 17.3)
    Zifuatazo ni picha zinazoonyesha baadhi ya sehem katika nyumba hiyo.




No comments:

Post a Comment