Tuesday, January 29, 2013

WASANII WAKIKE TANZANIA IGENI HAPA.

 Mwanadada kutoka Uganda anayejulikana kwa jina la Zari ni mzuri,tajiri,mfanyabiashara,mwanamuziki anasifika kwa kuendesha gari zenye gharama kubwa zaidi kuliko msanii yeyote kutoka Uganda.
  Pamoja na kuwa na biashara zingine nyingi Zari ni Mwenyekiti Mtendaji(CEO) wa brooklycitycollege.co.za(Chuo cha fani mbalimbali kilichopo Afrika Kusini.
 





/>

No comments:

Post a Comment