Thursday, October 10, 2013

CHEZEEEAAA MADAM WEMA!!!

Hii imekuja baada ya Diamond ku-post katika account yake ya Instagram kua wako katika Zoezi la kushoot movie mpya iitwayo TEMPTATIONS yeye na Wema  huko China. Haya tusubiri tuone mana hata Penny tuliambiwa wanashut muvi mpyaaaaaaaaaa ikwa muviiiiiiii!!!!
Wema akiwa na Diamond katika moja ya mitaa huko Hong Kong China.
 

No comments:

Post a Comment