Saturday, June 8, 2013

BIKINI ZAPIGWA STOP MISS WORLD


Bikini ni vazi lililozoeleka kuvaliwa katika mashindano ya urembo likiwa vazi la ufukweni lakini tofauti na miaka yote mwaka huu waandaaji shindano la mrembo wa dunia wamesema  vazi hilo halitatumika kwenye shindani la hilo.

Wakieleza sababu za kutokutumika kwa vazi hilo ni taratibu za kimaadili kwa vile shindano hilo linafanyika kwa mara ya kwanza mashariki ya mbali katika nchi ya indonesia ambapo 90% ni waislamu.

Walisema badala yake warembo wote 137 watavaa vazi kuogelea la utamaduni ili kupunguza mtazamo tofauti wa kimadili kuhusu shindano  hilo.

Kwanza mara ya kwanza indonesia inakuwa mwenyeji wa shindano litakalofanyika baadaye september mwaka huuu

(source:the sun).

No comments:

Post a Comment