Sunday, July 7, 2013

GRACE MACHEL MANDELA MWANAMKE PEKEE ALIYEWAHI KUWA FIRST LADY KWENYE NCHI MBILI

Graca Machel alizaliwa 17 october 1945 Msumbiji katika utawala wa mreno eneo la gaza.Graca mnamo tarehe 11 november 1975 aliolewa na mpigania uhuru wa msumbiji na rais wa kwanza wa msumbiji Somora Machel.


Kabla ya kuwa mke wa rais Graca Machel amewahi kuwa mwalimu na pia katika uongozi wa mumewe Somara Machel aliweza kuwa waziri wa elimu na kilimo nchini Msumbiji.Somora na Graca walifanikiwa kupata watoto wawili Josina Machel na Malengani Machel.Mnamo mwaka 1986 Graca alibaki mjane baada ya mumewe na rais wa zambia wa kwanza Somora Machel kupata ajari ya ndege na kupoteza maisha.

                              akiwa na mume wake wa kwanza.

Tarehe 18 july 1998 aliolewa kwa mara ya pili na rafiki wa mumewe kipenzi na rais wa afrika ya kusini mzee Nelson Mandela na kuwa mke wa Tatu wa nelson mandela.Amekuwa mke wa rais kuanzia mwaka 1998 mpaka 1990 mandela alipoachia madaraka mpaka sasa ndo Graca machel ndo mke wa mandela na ndo mwanamke wa kwanza dunian katika historia kuolewa na viongozi wa nchin tofauti barani afrika na mke wa rais mala mbili katika offisi mbili tofauti msumbiji 1975-1986 na afrika ya kusin 1998-1999.

Graca Machel amewahi kuwa mtetezi wa haki za wanawake na watoto ba mnamo mwaka 1997 alipokea British Dame tuzo kwa ajili ya kazi yake iyo.
Akiwa na Nelson Mandela.

No comments:

Post a Comment