Sunday, July 7, 2013

HATIMAYE NATASHA AOLEWA

Hatimaye Mwigizaji wa siku nyingi Natasha ambaye ni mama mzazi wa Monalisa amefunga ndoa baada ya kufanya sherehe mbalimbali zakushindikiza harusi hiyo iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu.
 
Pongezi nyingi kwake kwakuweza kufanikisha ndoa yao na mungu awaongoze.

No comments:

Post a Comment