Wednesday, July 10, 2013

RECHO:SIJIPUNGUZI ILI NIOLEWE

MSANII anaye fanya tasnia ya filamu
nchini Recho Haule amefunguka kuwa amekuwa akifanya mazoezi kwa sasa ili kuimarisha mwili na si kwamba anapunguza uzito ili aolewe kama baadhi ya watu wanavyodai.


Nyota huyo mefunguka hivyo baada ya kuibuka tetesi zilizotufikia katika blog hii kutoka kwa baadhi ya wasanii wa tasnia hiyo ya filamu.

"Kwa sasa nafanya mazoezi kwaajili
ya kutunza hali ya afya yangu,nimekuwa
nikifanya mazoezi  ilikuutunza
mwili wangu uwe katika hali ya afya
njema,"alisema Recho .


 

No comments:

Post a Comment