Friday, September 6, 2013

REQUEST FOR ADVERTING YOUR BUSINESS THROUGH MY BLOG.

Kesheridhiwani blogspot(sayari ya wanawake) was established on January 2013 under management of Namkeshe Ridhiwani as CEO and Founder of this blog.
Since then it has been hottest in publishing various news concerning celebrities,fashion,sports,catering from different parts of the word.
From this short time since it has been started more than 38,000 people  with different age from different nation arround the world are following this blog.
Hence I request you are advertise your business through this fast growing blog which has potential of being visited and folled by large number of people due our quality,latest and reliable news of women.
Also we have mission which is to be best creator in proving education and updating society through reliable news.
And our costs adverstise on our blog is very cheap compared to the other n you will be required pay for 3 month and for more information contact us.
Our attention is to give top priority to make sure you benefict from your business to advertise your business with us and referred to various place and get more customers.

 TANGAZA NASI KATIKA BLOG HII.
kesheridhiwani blogspot(sayari ya wanawake) ni blog inayoandika habari mbalimbali zinazohusu wanawake ziwe ni za kitaifa ama kimataifa.

Blog hii imeanzishwa rasmi January mwaka huu chini ya uongozi wa mwanahabari Keshe Ridhiwani, ambapo kwakipindi hiki kifupi tayari watu zaidi ya 38,000 wa rika na jinsia tofauti wamekuwa wakitembelea kutoka mataifa mablimbali.

Kupitia maelezo hayo mafupi naleta tena ombi kwa wale wote wanaohitaji kutangaza nasi bas wawasiliane na Keshe moja kwa moja kwa namba ambazo zipo juu upane wa kulia.

Kwa bei ni maelewano kati yetu na mteja lakini inahusisha malipo ya kuanzia miezi 3.

Sunday, September 1, 2013

PICHA:RED CARPET UZINDUZI WA FILAMU YA FOOLISH AGE

MSANII BATULI AKIWA RED CARPET
                                
WOLPER

LULU AKIWA NA MKURUGENZI WA

RAY AKIWA NA MASHABIKI WAKE


MONALISA AKIWA NA MAMA YAKE NATASHA

ANNA MANDELA: MWANAMKE MWENYE RASTA NDEFU ZAIDI DUNIANI, NI ZA FUTI 55 TIZAMA PICHA ZAKE HAPA

Mrs Mandela, 47, anashikilia Guinness World Record kwa kuwa na rasta ndefu zaidi duniani zenye urefu wa futi 55.
 
Humchukua siku mbili kuziosha na kuzikausha nywele zake. Mrs Mandela, ana mtoto mwenye miaka 11 aitwaye Zion aliyezaa na mume wake wa pili, anasema nywele zake zimesaidia uhusiano wake na mumewe.
 
Kwa sasa ameolewa na mume wa tatu na asili yake ni Trinidad and Tobago. Alianza kuzitunza nywele hizo miaka 25 iliyopita.



Tuesday, August 27, 2013

RAY C AINGIA GYM.

Zaidi ya sauti yake na uwezo mkubwa wa kuimba nyimbo zinazoshikika kiurahisi, umaarufu wake mwingine mkubwa toka enzi hizo ni kiuno bila mfupa kwa jinsi alivyokua akicheza nacho….. ni uwezo uliofanya mpaka maneno ya kiuno bila mfupa yakapata umaarufu kupitia yeye.

Siku kadhaa tu baada ya kutangaza kurudi kwenye muziki kama zamani, Ray C akiwa ametoka kwenye matibabu ya matumizi ya dawa za kulevya… ameanza kujipanga kupunguza unene alionao ili awe mwepesi zaidi ya alivyo sasa ili kila kitu kiende kama kilivyokua.

Ray C akipiga story na fans wake alisema “Mauno ni nyonga si manyama”, hii ni moja ya sababu za msingi sana zilizomfanya Rehema Chalamila kuingia gym kuanza mazoezi.






Monday, August 26, 2013

BAD LUCK IKO NJIANI


Ile Sinema iliomshirikisha miss Tanzania mwaka jana Salha Israel, Muda si mrefu itaingia mtaani kwa kishindo inayokwenda kwa jina la BAD LUCK Wadau mzigo huu si wa kuukosa kama kawaida ya RJ Company uwa hawabahatishi kwenye kazi.

JINSI YA KUANDAA KATLES ZA SAMAKI


 

Viazi    5 kiasi

Tuna    2 vikopo

Karrot 1

Pilipili             Nusu

Thomu          ½ kijiko cha chai

Pilipili          kiasi

Chumvi        kiasi

Ndimu         kiasi

Unga wa ngano     ½ kikombe

Yai              1

Mafuta ya kupikia        Kiasi      

                                                               

NAMNA YA KUTAYARISHA NA KUPIKA

1.      Menya Viazi uvichemshe na chumvi.

2.      Vikiwiva vichuje maji, viponde ponde, vilainikie – weka kando

3.      Chuna karrot ziwe kama chicha, kata pilipili mboga  nyembamba nyembamba,   fungua vibati vya Tuna kamua majia yake mwaga. 

4.      Changanya Tuna, karrot, pilipili mboga, thomu, pilipili kali, chumvi, ndimu, kisha uchanganye na viazi ulivyoviponda. Hakikisha vimechanganyika vizuri.

5.      Tengeneza vidonge kiasi unachotaka na kata umbo unalopenda kama la yai au duwara ukimaliza weka pembeni.

6.      Changanya unga na maji uwe mzito mzito tena uchanganye vizuri na yai.

7.      Weka karai katika moto, mimina mafuta kama ya maandazi, kisha chukua vidonge chovya katika unga uliochanganywa yai  na utumbukize ndani ya mafuta yaliopashika moto vizuri.

8.      Ziwache mpaka zibadilike rangu, uzitoe. Tayari kwa kula. 

YANAYOJIRI KATIKA FIESTA MIKOANI.

Wasanii mbalimbali wakiwa katika safari zao za Serengeti Fiesta 2013.
                     Msanii Diamond Platinum na Lina wakiwa katika pozi
                     Mmoja wa memba wa makomandoo akiwa na Lina
                                                      Recho katika pozi
                                   Shilole katika pozi na wasanii wengine