Sunday, September 1, 2013

ANNA MANDELA: MWANAMKE MWENYE RASTA NDEFU ZAIDI DUNIANI, NI ZA FUTI 55 TIZAMA PICHA ZAKE HAPA

Mrs Mandela, 47, anashikilia Guinness World Record kwa kuwa na rasta ndefu zaidi duniani zenye urefu wa futi 55.
 
Humchukua siku mbili kuziosha na kuzikausha nywele zake. Mrs Mandela, ana mtoto mwenye miaka 11 aitwaye Zion aliyezaa na mume wake wa pili, anasema nywele zake zimesaidia uhusiano wake na mumewe.
 
Kwa sasa ameolewa na mume wa tatu na asili yake ni Trinidad and Tobago. Alianza kuzitunza nywele hizo miaka 25 iliyopita.



No comments:

Post a Comment