Saturday, September 7, 2013

MFAHAMU BINTI WA KIDATO CHA NNE ALIEZAA NA DIAMOND PLATNUMZ..!! DIAMOND AKANA..!!

Ni Binti aitwaye Sasha alieleza kuhusu uhusiano wake na Diamond baada ya kuungalinishwa na Binamu wa Diamond,Romey Jones ambaye alikuwa anafahamiana na Sasha huyo kabla ya Diamond.

Diamond alianza kumpenda baada ya kukutana Mlimani City kwa mara ya kwanza akiwa na rafiki zake na uhusiano wao uliendelea mpaka alipofanikiwa kumpata mtoto.

Sasha alisema Diamond alisema amevutiwa kuwa mpenzi wake kwa jinsi  anavyofanana na X.girlfriend wake Wema Sepetu.

"Ni kweli nimezaa na Diamond na motto ana miezi mitatu sasa na Diamond ndio alinikatisha masomo yangu.

No comments:

Post a Comment