Friday, June 28, 2013

HUDDAH MBAYA WA DIVA ATUA DAR

HUDDAH
Aliyekua mmoja wa wawakilishi wa Kenya katika BBA
The Chase, mrembo Huddah Monroe (The Boss Lady)
ametua Dar es Salaam, Tanzania ku-host party ya “Mid
Year Bash” siku ya jumamosi tarehe 29/june/2013.
BASH hilo litafanyika ndani ya ELEMENTS
LOUNGE,
 Na limedhaminiwa na Unity Entertainmen, Heinneken,

na Vocacom.....Watu wengi wanajiuliza itakuwaje pale
watakapo kutana na Diva loveness ambae wamekuwa



na beef kwenye mitandao wakimgombea japo amekuwa
akikataa pindi anapohojiwa..Prezzooo...Aka the boy is Mine


                                                                     diva



 

No comments:

Post a Comment