Wednesday, June 26, 2013

HATIMAYE MUME WA JOYCE KIRIA APATIKANA

HATIMAYE mume wa Joyce Kiria  Mtangazaji wa Eatv kipindi cha wanawake live Bwana Henry Kilewo  aonekana akiwa ameshikiliwa na polisi  akihusishwa na tuhuma za Ugaidi wa kutumia tindikali.
Kilewo anashutumiwa kummwagia tingikali Musa Tesha sept9 mwaka juzi kwenye kampeni za uchaguzi mdogo jimbo la Igunga.
"Sijui nilichoitiwa nimepigiwa simu naenda kutekeleza wito,nimewataarifu mawakili wangu kwakuwa chochote kinaweza kutokea na kwa sasa cha msingi watanzania wanaopenda mageuzi waniombee kwa mungu"Alisema Kileo.
Kwa habari zaidi tembelea blog ya michuzi.

No comments:

Post a Comment