Saturday, March 9, 2013
WOLPER KWA MARA YA KWANZA APIGA PICHA ZA UTUPU
Hatimaye staa wa filamu za Kibongo mwenye heshima tele, Jacqueline
Massawe Wolper amenaswa ‘laivu’ akiwa amepiga picha chafu inayoonesha
sehemu kubwa ya nyeti zake.
BEN POL NA RAMA DEE WALALAMIKIA KUIBIWA KAZI ZAO
Wasanii wa kizazi kipya [Bongo Flava] bado wamekuwa wakilalamika kuibiwa mapato kama sio kazi zao bila ruhusa zao.
Mapato hayo ambayo yako katika mfumo wa miito ya simu, yaani caller tunes wameonekana kutokushiriki kwenye mauzo haya na wengine wameonekana kulalamika moja kwa moja kupitia mitandao ya jamii.
Earlier today, msanii anaefanya vizuri sasa na ngoma zake tofauti, akifanya muziki wa RnB, Rama Dee ameandika katika ukurasa wake wa twitter akilalamikia wimbo wake kuuzwa bila ridhaa yake.
Msanii mwingine alieonekana kuwa na matatizo kama haya Ben Pol, msanii mkali wa RnB kutoka Bongo akiwa na credit nyingi kutokanana na kazi zake nzuri.
Ben pia ameonekana leo kulalamikia suala hili hili akionekana kuhuzunika na kuwa na hasira juu ya hili,
So far, suala la caller tunes limekuwa na cnflicts na wasanii wengi huku wengi wao wakidai kuwemo lakini bila ya kupata mapene yoyote au kutopata kabisa kutoka huko kwenye makampuni haya.
UHURU KENYATTA NI RAIS MPYA WA KENYA
Tume ya uchaguzi nchini Kenya imemtangaza rasmi bwana Kenyatta kama mshindi wa uchaguzi wa urais Kenya baada ya kupata zaidi ya asilimia hamsini ya kura zilizopigwa
WASTARA AENDA KUPUMZIKA UARABUNI
MWIGIZAJI Nyota katika tasnia ya filamu Swahiliwood Wastara Juma
‘Stara’ amesema kuwa baada ya muda mwingi wa mihangaiko ya kuuguza na
hata kumpoteza mumewe anahitaji kupumzika na kujenga akili upya, katika
kulifanya hilo ameamua kwenda kupumzika Uarabuni kwa ajili ya kutuliza
akili na kujipanga upya, amesema kwa sasa anahitaji
kupumzika kwa muda.
“Nina safari wiki ijayo na kwenda Uarabuni kwa ajili ya kupumzika kisha baadae kuangalia nafanyaje kazi katika staili ipi, kwa sasa itakuwa ngumu kuwepo bila kufanya kazi lakini pia familia imeamua niende huko kama ni sehemu ya kunifariji zaidi kutokana na kipindi hiki kigumu,”anasema Stara.
Lakini mwanadada huyo asiye na makuu ameamua kwenda huko kupmzika kutokana na hali ya filamu ilivyo sasa ambapo watayarishaji wanajikuta wakikikaa kwa muda mrefu wakisotea kazi zao kutoka pasipo na wakati maalum, soko la filamu kwa sasa inasemekana ni gumu kuliko ambavyo jamii inaliona ukiona kazi imetoka sokoni ujue watu wametabika kwa kiwango kikubwa.
.
Tunamtakia mapumziko mema na safari yenye Baraka na baadae akirudi arudi na nguvu mpya kwa ajili ya kuendeleza sanaa yetu Bongo
Stara akiwa na mtoto wake.
“Nina safari wiki ijayo na kwenda Uarabuni kwa ajili ya kupumzika kisha baadae kuangalia nafanyaje kazi katika staili ipi, kwa sasa itakuwa ngumu kuwepo bila kufanya kazi lakini pia familia imeamua niende huko kama ni sehemu ya kunifariji zaidi kutokana na kipindi hiki kigumu,”anasema Stara.
Lakini mwanadada huyo asiye na makuu ameamua kwenda huko kupmzika kutokana na hali ya filamu ilivyo sasa ambapo watayarishaji wanajikuta wakikikaa kwa muda mrefu wakisotea kazi zao kutoka pasipo na wakati maalum, soko la filamu kwa sasa inasemekana ni gumu kuliko ambavyo jamii inaliona ukiona kazi imetoka sokoni ujue watu wametabika kwa kiwango kikubwa.
.
Tunamtakia mapumziko mema na safari yenye Baraka na baadae akirudi arudi na nguvu mpya kwa ajili ya kuendeleza sanaa yetu Bongo
Subscribe to:
Posts (Atom)









