Saturday, March 9, 2013

JADEN SMITH NDANI YA DIMBWI LA MAPENZI NA KYLIE KARDASHIAN

 


Ni moja ya stori kwenye headlines sasa hivi kwamba mtoto wa movie Star Will Smith,
 Jaden Smith (14) na mdogo wa Tv Star Kim Kardashian, Kylie Jenner (15) wako
 kwenye uhusiano wa kimapenzi japo wenyewe
hawajathibitisha hilo.US Weekly wameripoti kwamba
 ni uhusiano mpya ambao umeanza baada ya wawili hawa
 kuwa marafiki kwa muda ambapo wamekua wakionekana pamoja sehemu mbalimbali,
 ya hivi karibuni ikiwa ni  Caffe Nero London Uingereza Jaden akiwa amehudhuria
 party ya mshkaji Justine Bieber kutimiza umri wa miaka 19.


LONDON

WOLPER KWA MARA YA KWANZA APIGA PICHA ZA UTUPU

     Hatimaye staa wa filamu za Kibongo mwenye heshima tele, Jacqueline Massawe Wolper amenaswa ‘laivu’ akiwa amepiga picha chafu inayoonesha sehemu kubwa ya nyeti zake.

    Kunaswa kwa picha hiyo, kumevunja heshima ya staa huyo aliyekuwa pekee hajapiga picha ya namna hiyo kati ya mastaa wa k*** wanaotamba katika tasnia ya filamu hapa Bongo.

FASHION MPYA YA RIHANNA YAZINDULIWA..

 


RiRi amezindua Collection yake ya River Island ambapo hizi
 double top jeans ni moja ya bidhaa zake huku moja
ikiuzwa kwa USD 150, Umeonaje huu ubunifu wa kuitengeneza?
 

2FACE AFUNGA NDOA YA KIMILA







Baada ya kufanyika Harusi ya Kimila Jana,Machi 8,Staa Huyu Anategemea kufanya
harusi nyigine Dubai siku kadhaa zijazo....!!

                 hapa ikiwa ni siku chache kabla ya ndoa hiyo.



BEN POL NA RAMA DEE WALALAMIKIA KUIBIWA KAZI ZAO



Wasanii wa kizazi kipya [Bongo Flava] bado wamekuwa wakilalamika kuibiwa mapato kama sio kazi zao bila ruhusa zao.

Mapato hayo ambayo yako katika mfumo wa miito ya simu, yaani caller tunes wameonekana kutokushiriki kwenye mauzo haya na wengine wameonekana kulalamika moja kwa moja kupitia mitandao ya jamii.

Earlier today, msanii anaefanya vizuri sasa na ngoma zake tofauti, akifanya muziki wa RnB, Rama Dee ameandika katika ukurasa wake wa twitter akilalamikia wimbo wake kuuzwa bila ridhaa yake.
Hii inaonesha kutokuwemo kwa makubaliano ya kuuzwa kwa KUWA NA SUBIRA.

Msanii mwingine alieonekana kuwa na matatizo kama haya Ben Pol, msanii mkali wa RnB kutoka Bongo akiwa na credit nyingi kutokanana na kazi zake nzuri.
Ben pia ameonekana leo kulalamikia suala hili hili akionekana kuhuzunika na kuwa na hasira juu ya hili,
Nafikiri hili ni tatizo linalowasumbua wasanii wengi ingawa hawa ni wachache waliolalamika leo, as fans we wanna see these guys win na kutengenza pesa zao kwa jasho wanalolitoa kwa kazi zao.

So far, suala la caller tunes limekuwa na cnflicts na wasanii wengi huku wengi wao wakidai kuwemo lakini bila ya kupata mapene yoyote au kutopata kabisa kutoka huko kwenye makampuni haya.

UHURU KENYATTA NI RAIS MPYA WA KENYA


Tume ya uchaguzi nchini Kenya imemtangaza rasmi bwana Kenyatta kama mshindi wa uchaguzi wa urais Kenya baada ya kupata zaidi ya asilimia hamsini ya kura zilizopigwa
Uhuru Kenyatta ni Rais mpya wa Kenya. 

Tume ya uchaguzi nchini Kenya imemtangaza rasmi bwana Kenyatta kama  mshindi wa uchaguzi wa urais Kenya baada ya kupata zaidi ya asilimia hamsini ya kura zilizopigwa

WASTARA AENDA KUPUMZIKA UARABUNI

 

Wastara Juma
Stara mwigizaji wa filamu Swahiliwood.
MWIGIZAJI Nyota katika tasnia ya filamu Swahiliwood Wastara Juma ‘Stara’ amesema kuwa baada ya muda mwingi wa mihangaiko ya kuuguza na hata kumpoteza mumewe anahitaji kupumzika na kujenga akili upya, katika kulifanya hilo ameamua kwenda kupumzika Uarabuni kwa ajili ya kutuliza akili na kujipanga upya, amesema kwa sasa anahitaji kupumzika kwa muda.


Wastara Juma

Stara akiwa na mtoto wake.

    “Nina safari wiki ijayo na kwenda Uarabuni kwa ajili ya kupumzika kisha baadae kuangalia nafanyaje kazi katika staili ipi, kwa sasa itakuwa ngumu kuwepo bila kufanya kazi lakini pia familia imeamua niende huko kama ni sehemu ya kunifariji zaidi kutokana na kipindi hiki kigumu,”anasema Stara.
    Lakini mwanadada huyo asiye na makuu ameamua kwenda huko kupmzika kutokana na hali ya filamu ilivyo sasa ambapo watayarishaji wanajikuta wakikikaa kwa muda mrefu wakisotea kazi zao kutoka pasipo na wakati maalum, soko la filamu kwa sasa inasemekana ni gumu kuliko ambavyo jamii inaliona ukiona kazi imetoka sokoni ujue watu wametabika kwa kiwango kikubwa.
.

     Tunamtakia mapumziko mema na safari yenye Baraka na baadae akirudi arudi na nguvu mpya kwa ajili ya kuendeleza sanaa yetu Bongo