Saturday, March 9, 2013

UHURU KENYATTA NI RAIS MPYA WA KENYA


Tume ya uchaguzi nchini Kenya imemtangaza rasmi bwana Kenyatta kama mshindi wa uchaguzi wa urais Kenya baada ya kupata zaidi ya asilimia hamsini ya kura zilizopigwa
Uhuru Kenyatta ni Rais mpya wa Kenya. 

Tume ya uchaguzi nchini Kenya imemtangaza rasmi bwana Kenyatta kama  mshindi wa uchaguzi wa urais Kenya baada ya kupata zaidi ya asilimia hamsini ya kura zilizopigwa

No comments:

Post a Comment