Thursday, April 18, 2013

DAVINA APATA MTOTO WA KIUME



 
Msanii wa filamu nchini Halima Yahya 'Davina' amejifungua mtoto wa kiume katika Hospitali ya Agha Khan jijini Dar es salaam.
 Davina amejifungua jumapili katika hospitali ya Agha Khan na anamshukuru mungu amejifungua salama na amerudi nyumban kwa mumewe anayeishi naye sasa Tabata.
“Namshukuru sana Mungu nimejifungua salama, nilimwomba iwe hivyo. Kwa sasa namwomba Mola amjalie afya njema na maisha marefu mwanangu" Alisema.


 

No comments:

Post a Comment