Thursday, July 18, 2013

RAYUU:SIKO TAYARI KUFANYA DHAMBI KWENYE MWEZI MTUKUFU.

Muigizaji wa filamu Rayuu amesema kuwa katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani anapenda kumcha mungu na hapendi kufanya dhambi kabisa licha ya watu wachache kutaka aonekane mbaya mbele ya jamii.

  Akichonga na Swahiliworldplanet alisema "Mh... Cpendi kufanya dhambi kabisaaa ndo maana mwezi wote najitahidi kuwa msafi na kumcha mungu. Msafi kimatendo ingawa siku zote matendo yangu ni masafi bali tuh wachache ndo hunifanya nionekana mbaya"

No comments:

Post a Comment