Wednesday, January 16, 2013

MKE WA RAIS MAMA SALMA KIKWETE AWAFANYIA SHERRY PARTY WENZA WA MABALOZI JIJINI DAR

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiongea kwenye hafla maalum ya kuwakaribisha wake wa mabalozi nchini kwa mwaka mpya2013,hafla hiyo ilifanyika katika viwanja vya ikulu jijini dar es salaam jana. 
 
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete(mwenye kilemba kushoto)akipongezana na consulate wa jamhuri ya Poland Bi.Grazyna Tairo kwenye hafla ya kuwakarbisha wenza wa mabalozi nchini jana,katika viwanja vya ikulu.
Mke wa makau wa Rais Mama Asha Bilal(kushoto)akibadilishana mawazona mkewa waziri mkuu Mama Tunu Pinda(kulia)katika hafla maalum.
<
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete(kushoto)akisalimiana na mdau Fauzia Aboud katika hafla hiyo katika viwanja vya ikulu.

No comments:

Post a Comment