Friday, January 18, 2013

ODAMA ATOA KALENDA


     Msanii wa filamu Jennifer Kyaka maarufu Odama pamoja na kampuni yake ya J'-Film 4 Life ametoa kalenda ya mwaka 2013 ikiwa ni zawadi kwa wadau wote wa filam za kitanzania.Kampuni inatoa shukran za dhat kwa watu wote waliounga mkono kazi zilizofanyika kwa mwaka 2012.
      Kalenda zote zina picha zake pamoja na wasanii wengine wa wa filamu nchini.

                        HII NI KALENDA YA KWANZA KWENYA KURASA CHACHE TOFAUTITOFAUTI
  


 
                                  NA HII NI KALENDA YA PILI YENYE KURASA MOJA
                           
                                                                 


No comments:

Post a Comment