Thursday, August 15, 2013

LULU NA WASTARA WAKUTANISHA PAMOJA


Waigizaji maarufu wa filamu nchini Elizabeth Michael(Lulu) na Wastara Juma wana mpango wa kucheza filamu pamoja
 
 
Wawili hao pia wameonekana katika picha za pamoja hivi karibuni na mashabiki wao kudhani kuwa wanakuja pamoja kikazi.
Tutokana na kuonekana huko pamoja mashabiki wao wanadhani wanaweza kushirikiana na kutoa muvi kali iwapo itakuwa kweli.

Mpaka wakati hatujapata uhakika kutoka kwao wenyewe kuwa ni kweli au ni uzushi tu.

 

No comments:

Post a Comment