Sunday, February 10, 2013

OFFICIAL RELEASE(Feza Kessy)-Amani ya Moyo

 
)
     Baada ya kutambulishwa rasmi na Label ya Unity Entertaiment ambayo inasimamiwa na msanii Ay,track ambayo ilikuwa inasubiriwa kutokakwa mwanadada aliyewahi kufanya vizuri kwenye mitindo Feza Kessy sasa kutoka Jumatatu 11.2.2013
    Track hiyo itakwenda kwa jina la Amani ya Moyo  ambayo imefanyika katika Studio  za Mpo Africa chini ya producer Ben Mwamba na kufanyiwa mixing na Marco Chali...Kaa tayari kwa ujio wake.

No comments:

Post a Comment