Wednesday, February 13, 2013

HUYU NDIYE MSANII WA TMK ALIYEAGA DUNIA


Msanii kutoka kundi la TMK WANAUME FAMILY anatejulikana kama BK leo hii amefariki dunia kwenye hospital ya MUHIMBILI.

Imeelezwa kuwa BK kabla yakukutwa na mauti alikua akisumbuliwa na homa ya matumbo na kupelekwa hospital ya TEMEKE.Hali ilizidi kua mbaya alihamishwa hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo vipimo vilionyweshwa kuwa alikua na tatizo la kuvimba ini ugonjwa uliopelekea kifo chake.

Uongozi kesheridhiwani.blogspot.com unatoa pole kwa ndugu jamaa na marafiki .

No comments:

Post a Comment