Tuesday, February 12, 2013

RADI YA PIGA KANISA LA ST PETER'S BASILICA SAA KADHAA BAADA YA PAPA BENEDICT KUTANGAZA KUJIUZULU.

Je? hii ni ishara kutoka kwa mungu? kwa sababu amini usiamini saa kadhaa baada ya papa Benedict xvi kutangaza kujiuzulu radi kubwa ilipiga kwenye kanisa la st peter Basilica.
Papa benedict aliwastua mabilion ya waumini wa kanisa katoliki dunian kwa kutangaza kuwa ajiuzulu mwishoni mwa mwezi huu papa huyo mwenye umri wa miaka 85 amekua kiongozi wa kanisa hilo tangu mwaka 2005.

No comments:

Post a Comment