Friday, February 15, 2013

ALICHOKISEMA PREZO BAADA YA TAARIFA YA KIFO CHA MPENZI WAKE GOLDIE.

 


Baada ya taarifa za msiba kusambaa kila sehemu Africa na dunia kuhusu kifo cha mwanamuziki Goldie Harvey, hatimaye aliyekuwa mume mtarajiwa wa marehemu Goldie, Prezzo ameonyesha kuguswa kwake na kifo hicho cha mpenzi wake.

Prezzo ameandika maneno katika ukurasa wake wa facebook yakionesha ni jinsi gani ameguswa na msiba huo. Hapa chini ndio maneno aliyoandika msanii huyo...



_______________________________

No comments:

Post a Comment