Monday, May 20, 2013

RECHO AJA NA VANNESA IN DILEMME

       Mcheza filamu wa kike maarufu Rachel Haule anatarajia kutoa filamu yake inatakayoitwa Vannesa in Dilemme.

      Akizungumza na Blog hii Recho alisema filamu hiyo imetengeneza katika kampuni yake inayoitwa Rasa Films Company ambayo amewashirikisha wasanii wakongwe kama Haji Adamu( Baba Haji), Jennifer Kyaka na wengine.




      

No comments:

Post a Comment