Friday, February 8, 2013
HIVI NDIVYO ALIVYOPOKELEWA 'MATUMAINI'
MSANII wa vichekesho ambaye alikuwa nchini Msumbiji, Tumaini Mwakibibi ‘Matumaini’ jana alipokelewa na wasanii wenzake kibao baada ya kutua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar akiwa hoi kutokana na kusumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment