Monday, February 4, 2013

MWANSITI NA VITU ANAVYOMILIKI.

       Hitmaker wa nalivua pendo na mapito,MWANSITI ALMASI ameeleza mafanikio aliyoyapata kupitia kazi yake ya muziki ambapo amefanikiwa kununua gari lenye thamani ya milioni 16 na mjengo anaomalizia maeneo ya mbezi beach jijini Dar es salaam.
   Kupitia kipindi cha amplifaya cha clouds fm mwansiti alisema nyumba hiyo yenye vyumba 5 inatarajiwa kumalizika baada ya miezi michache ijayo.
 

      No comments:

      Post a Comment