Friday, June 21, 2013

HUYU NDIYE MREMBO ALIYETIMULIWA JUKWAANI NA LUNDENGA




mwenyekiti wa kamati ya Miss Tanzania
alimtimua saphina chumba
mshiriki wa Redds Miss Morogoro
baada ya kuvaa nusu uchi jukwaani
 
 
                            Kamati ya Miss Tanzania hairuhusu
                             washiriki wa urembo kupanga jukwaani                         na nguo za nusu uchi kama alivyofanya mrembo
                            anayeonekana hapo juu.


Maoni ya C.E.O:Wanawake au wasichana tuwe tunajitambua na kuthamini miili yetu wasije tukawa tunasema tunadhalilishwa sana kumbe tumeanza wenyewe kujiwekea mazingira mabaya.
Fani ya Urembo na hata sanaa hazimlazimishi msichana kuvaa mavazi ya uchi ila mara nyingi sisi tunakuwa tunapenda kuonyesha miili yetu na hatujui thaman zetu TUBADILIKE.

No comments:

Post a Comment