Friday, September 27, 2013

PEEPLES...HII NDIO MOVIE AMBAYO WIMBO WA SAIDA KALORI CHAMBUA KAMA KARANGA UMETUMIKA.

Wengi tulioangalia movie hii ya Marekani tumejiuliza wimbo wa Saida Kalori umewafikiaje.Maana ukiangalia movie hii mwanzoni mwanzoni kabisa wimbo chambua kama karanga unasikika na anaonekana mama akiucheza kama sehemu ya mazoezi.
Saida Kalori  hakua akijua chochote kuhusu nyimbo yake kutumika katika movie hiyo.Pia aliyewahi kuwa manager na producer wa Saida hakuwa akijua chochote zaidi ya kupigiwa simu kutoka Marekani na wanawe waliyoiona movie hiyo. 


Zifuatazo ni baadhi ya picha za movie hiyo







Chanzo:Dina marios, blogspot
 

No comments:

Post a Comment