Monday, January 21, 2013

KUKANYAGA BUSTANI IKULU

      Askari Polisi wakiwa wamewaweka chini ya ulinzi wakazi wa Dar es salaam wenye asili ya China,baada ya kuwakamata kwa kosa la kukanyaga bustani inayozunguka eneo la Ikulu kwa gari lao, jijini Dar es salaam juzi(picha na Yusufu Badi).

No comments:

Post a Comment