Monday, January 21, 2013

UKUTA WA UBUNGO WAANGUKA NA KUSABABISHA UHARIBIFU MKUBWA

    Leo alfajiri ukuta wa Stand ya mabasi yaendayo mikoani Ubungo jijini Dar es salaam umeanguka nakuzusha hofu kubwa kwa wasafiri.
    Inadaiwa kuwa watu wanne wamejeruhiwanhuku magari 24 yaliyokuwa yameegeshwa mahali hapo yakiharibiwa vibaya na ukuta huo.
    Kamanda wa Polisi wa mkoa wa kipolisi Kinondoni Charles Kenyela alipokuja eneo la tukio alisema chanzo cha ajalini mkandarasi aliyekuwa akibomoa ukuta bila tahadhari.
     Hizi ni baadh ya picha za tukio hilo kwa hisani ya mtandao wa global.




No comments:

Post a Comment