Tuesday, January 22, 2013

SHILOLE NA STYLE MPYA YA NYWELE

     Bongomovie na msanii wa bongofleva Zuwena au Shilole au 'Mtoto mzuri amebadili mtindo wa nywele kwa kukata nywele na kuweka blich sehem ya kati(kiduku).Shilole alisema kuwa alikata kuwa alikata nywele siku ya jumapili ikiwa ni muonekano wake mpya kwa mwaka huu 2013.

No comments:

Post a Comment