Tuesday, January 22, 2013

MSONGO YAPATA MWANAMUZIK MPYA

Waimbaji wa bendi ya Msondo Ngoma wakiwajibika katika onyesholake maalum la kumtambulisha mwimbaji wao mpya Othumani Kambi(wa pili kulia)wengine ni Hassan Tx Moshi(wa kwanza kushoto)akifuatiwa na Eddy sana na Juma Katundu.Onesho hilo lilifanyika katika ukumbi wa Max Bar Ilala Bungoni.


Mashabiki wa Bend ya msondo wakicheza kwa furaha wakati wa onesho hilo

No comments:

Post a Comment